Thursday, July 3, 2014

DIAMOND AENDELEZA MAKAMUZI MAREKANI SASA AJIACHIA NA MBWA

Msanii wa Bongo Fleva nchini Diamond, juzikati alinaswa kwenye moja ya viwanja nchini Marekani akiwa ameshikilia mbwa aliyekuwa na mmoja wa marafiki zake,wakati akiwa katika moja ya mizunguko na kujirusha kabla hajaanza safari ya kurudi Bongo.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...